Msanii CPwaa afariki Dunia, familia yaeleza chanzo

Msanii CPwaa enzi za uhai wake

Msanii Ilunga Khalifa almaarufu CPwaa amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Januari 17, 2021, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, ambako alipelekwa kupata matibabu baada ya kuzidiwa ghafla.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS