Msanii CPwaa afariki Dunia, familia yaeleza chanzo
Msanii CPwaa enzi za uhai wake
Msanii Ilunga Khalifa almaarufu CPwaa amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Januari 17, 2021, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, ambako alipelekwa kupata matibabu baada ya kuzidiwa ghafla.