Chelsea kuboronga, Lampard alia na Muunganiko

Kocha wa Chelsea Frank Lampard.

Kocha wa kikosi cha Chelsea, Frank Lampard amesema sababu za timu yake kuboronga kwa siku za hvi karibuni ni kutokana na kukosa muunganiko baada ya ujio wa wachezaji wengi wapya  na mchanganyiko wa wachezaji wenye umri mdogo wasio na uzoefu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS