Serikali kuweka mazingira wezeshi kwa wabunifu

Dkt. Faustine Ndugulile, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile, amesema kuwa Serikali itaweka mazingira wezeshi ya kuendeleza vijana wabunifu wa TEHAMA nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS