Ndugulile atoa miezi mitatu tatizo la bando liishe

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile.

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt.Faustine Ndugulile ameipa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) miezi mitatu kumaliza changamoto za bando na vifurushi zinazotolewa na kampuni za simu za mkononi kwa wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS