Waziri Mhagama awaasa wafanyakazi OSHA katika hili

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama amewaasa wafanyakazi wa  Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia weledi ili kuwa na tija

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS