CHADEMA yataka akina Mdee na Matiko waulizwe swali

Bendera za CHADEMA.

Mkuu wa Idara ya Mawasiliano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tumaini Makene, amesema kuwa swali la kwamba wao wamesalitiwa na wabunge wa viti maalum walioapishwa jana, linapaswa liulizwe moja kwa moja kwa wabunge wenyewe kwa kuwa wao walipewa imani zaidi na wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS