Bayern yapata pigo, Kimmich nje hadi mwakani

Kiungo wa Bayern Munich, Joshua Kimmich (wapili kutoka kulia)akitolewa uwanjani baada ya kuumia katika mechi dhidi ya Borussia Dortmund

Kiungo wa Bayern Munich, Joshua Kimmich atakaa nje ya uwanja hadi mwezi Januari baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti aliloumia Jumamosi iliyopita wakati The Bavarians ilipoitandika Borussia Dortmund bao 3-2.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS