Katibu Mkuu, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii),Dkt. John Jingu akiwa amembeba mmoja wa watoto katika kituo cha Kulelea Watoto wadogo cha Mgolole
Katibu Mkuu, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii),Dkt. John Jingu amesema kazi ya kulea watoto inayofanywa na vituo vya kulelea watoto si kazi rahisi.