Mwenyekiti CCM arejesha kiwanja alichojimilikisha

Mkuu wa TAKUKURU mkoani Manyara Holle Makungu.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, kata ya Bagamoyo wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, Charles Mbaluka, amerejesha kiwanja cha chama hicho alichokuwa amejimilikisha kinyume na utaratibu tangu mwaka 2015.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS