Rekodi za Yanga VPL ni hatari

Yanga SC ndio timu pekee ambayo haijapoteza mchezo hata mmoja kwenye michezo ya ligi kuu Tanznaia bara VPL

Klabu ya Yanga imeuanza msimu wa 2020-21 vizuri tofauti na wengi walivyotarajia, mpaka sasa timu hiyo haijapoteza mchezo hata mmoja wa ligi na ipo nafasi ya pili kwenye msimamo na wanashikiria rekodi kadhaa hadi hivi sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS