Mawakala wa wagombea urais wa vyama 14 waapishwa

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya  Uchaguzi, (NEC), Dkt. Wilson Mahera, amewaapisha mawakala wa vyama vya siasa 14, ambapo chama cha ACT-Wazalendo pekee ndicho chama ambacho hakina mwakilishi wa uwakala kwa ngazi ya urais.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS