Mawakala wa wagombea urais wa vyama 14 waapishwa
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, (NEC), Dkt. Wilson Mahera, amewaapisha mawakala wa vyama vya siasa 14, ambapo chama cha ACT-Wazalendo pekee ndicho chama ambacho hakina mwakilishi wa uwakala kwa ngazi ya urais.