Alichokisema Ndayishimiye baada ya JPM kuteuliwa

Kushoto ni Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye na kulia ni Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli.

Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye amempongeza Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli,  baada ya hapo jana kutangazwa rasmi kuwa ndiye mshindi wa kiti hicho baada ya kupata kura  12,516,252.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS