Viongozi wa Dini watoa ujumbe huu kwa wagombea

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadj Mussa.

Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 28, 2020, wanasiasa wameaswa kutotumia lugha za matusi, vitisho na kejeli ili kumaliza mchakato huo salama bila kuivuruga amani iliyopo nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS