''Bora mzee wa ubwabwa kuliko wetu'' - Maalim Seif
Mgombea urais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa amesikitishwa na suala la mgombea urais wa Tanzania kupitia chama hicho, Bernard Membe kusema ataendelea kuwania urais kinyume na msimamo wa chama.