''Bora mzee wa ubwabwa kuliko wetu'' - Maalim Seif

Maalim Seif na Bernard Membe

Mgombea urais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa amesikitishwa na suala la mgombea urais wa Tanzania kupitia chama hicho, Bernard Membe kusema ataendelea kuwania urais kinyume na msimamo wa chama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS