Je, Afrika itajitafakari kuhusu kilimo cha bangi?
Tarehe 12 Oktoba ukanda wa Afrika Mashariki ulishuhudia nchi ya Rwanda, kupitia Bodi ya Maendeleo ya Taifa hilo (Rwanda Development Board) ikiidhinisha na kupitisha kilimo cha bangi nchini humo ambapo bangi itakayozalishwa nchini humo, itatumika kimatibabu na kuuzwa kwa makampuni ya kigeni