Mufti ahimiza amani kuelekea Uchaguzi mkuu Sheikh mkuu na Mufti wa Tanzania Abubakari Zubeir Sheikh mkuu na Mufti wa Tanzania Abubakari Zubeir amewataka watanzania kuhakikisha wanailinda amani ya nchi wakati huu ambapo taifa linaelekea kufanya uchaguzi mkuu. Read more about Mufti ahimiza amani kuelekea Uchaguzi mkuu