Wafanyabiashara katika Soko la Veternary wakiezeka upya mapaa ya mabanda yao baada yakuezuliwa na upepo.
Wafanyabiashara zaidi ya 20 katika soko la Veternary wameeleza namna walivyopata hasara baada ya mapaa ya mabanda yao kuezuliwa na upepo uliotokana na mvua iliyonyesha hapo jana.