Kimei kurithi mikoba ya Mbatia wa NCCR-Mageuzi

Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi James Mbatia na kulia ni Mbunge mteule wa jimbo la Vunjo Dkt. Charles Kimei.

Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Vunjo Michael Mwandezi, amemtangaza aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Benki ya CRDB Dkt. Charles Kimei, kuwa ndiye mshindi wa nafasi ya ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 40,170.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS