Magufuli amuomba Mungu amsamehe Meya huyu

Kushoto ni mgombea urais kupitia CCM Dkt John Magufuli na kulia ni aliyekuwa Meya wa Ilala Omary Kumbilamoto

Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt John Magufuli amemuomba Mungu amsamehe aliyewahi kuwa Meya wa Ilala na baadaye kuhamia, CCM, Omary Kumbilamoto, kwani kipindi yupo CUF alikuwa anafanya hujuma kwenye maendeleo kwa lengo la kutoipa kiki serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS