Aliyetumbuliwa kwa vyeti feki adakwa kwa mauaji Kamanda Revocatus Malimi Jeshi la polisi mkoani Kagera linamshikilia Dezber Kahwa mwenye umri wa miaka 49 mkazi wa kijiji Kibengwe, Bukoba Vijijini kwa tuhuma za kusababisha kifo cha Alinda Leverian mwenye umri wa miaka 14. Read more about Aliyetumbuliwa kwa vyeti feki adakwa kwa mauaji