Aliyetumbuliwa kwa vyeti feki adakwa kwa mauaji

Kamanda Revocatus Malimi

Jeshi la polisi mkoani Kagera linamshikilia Dezber Kahwa mwenye umri wa miaka 49 mkazi wa kijiji Kibengwe, Bukoba Vijijini kwa tuhuma za kusababisha kifo cha Alinda Leverian mwenye umri wa miaka 14.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS