'Mbowe ni mwekezaji' - Mrema

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na kulia ni John Mrema ambaye ni Mkurugenzi wa Itikadi, Uenezi, Mawasiliano na Mambo ya Nje.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeilalamikia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam baada ya kumnyima ruhusa Mwenyekiti wa Chama, hicho Freeman Mbowe kwa ajili ya kusafiri kwenda nje ya nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS