Mtume na Nabii Mwamposa, akamatwa

Waziri George Simbachawene na Mtume na Nabii Mwamposa

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema Jeshi la Polisi linamshikilia Mtume na Nabii Boniface Mwamposa baada ya kutoroka mjini Moshi kufuatia vifo vya watu 20 ambao walikuwa wanakanyaga mafuta ya upako mahala alipokuwa akihubiri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS