Mchungaji Mwamposa asakwa na Polisi

Mtume Boniface Mwamposa, kulia ni RPC Kilimanjaro Salum Hamduni

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro Salum Hamduni, amesema kuwa Jeshi la Polisi linaendelea kumsaka Mtume Boniface Mwamposa, aliyetoweka baada ya watu takribani 20 kufariki, wakati wakikimbilia kukanyaga mafuta katika kongamano lake lililofanyika mkoani humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS