Rais Magufuli afanya uteuzi huu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.

Rais Magufuli, amefanya uteuzi wa Wenyeviti watatu, watakaoongoza bodi za taasisi mbili za Serikali na Moja ya ubia na Sekta binafsi, akiwemo Gabriel P Malata kuwa Mwenyekiti na kuiwakilishi Serikali katika Bodi ya Kampuni ya Airtel, ambapo Profesa Malata ni Naibu Wakili Mkuu wa Serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS