Rais Magufuli afanya uteuzi huu
Rais Magufuli, amefanya uteuzi wa Wenyeviti watatu, watakaoongoza bodi za taasisi mbili za Serikali na Moja ya ubia na Sekta binafsi, akiwemo Gabriel P Malata kuwa Mwenyekiti na kuiwakilishi Serikali katika Bodi ya Kampuni ya Airtel, ambapo Profesa Malata ni Naibu Wakili Mkuu wa Serikali.