Msimamo wa Madee kuhusu goli la Kagere Madee na Meddie Kagere Nguli wa Hip Hop nchini Tanzania na shabiki kindakindaki wa klabu ya Yanga, Madee 'Seneda' amesema kuwa hayupo katika upande wa kumlaumu mwamuzi kwenye goli la Kagere alilofunga dhidi ya Namungo FC. Read more about Msimamo wa Madee kuhusu goli la Kagere