Serikali yamvaa mkandarasi juu ya ujenzi barabara
Serikali mkoani Morogoro imesikitishwa na mwendo wa kusuasua wa ujenzi wa barabara ya Kidatu-Ifakara baada ya miundombinu iliyopo kushindwa kustahimili maji mengi, mkandarasi akiwa amefikia asilimia 10 pekee huku mradi ukitarajiwa kukabidhiwa Aprili mwaka huu.