Mchujo wa pili kikosi cha Taifa Stars wafanyika

Mazoezi ya Taifa Stars

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kinategemewa kusafiri leo kuelekea nchini Misri ambako itaweka kambi ya mwisho kwa ajili ya kujiandaa na michuano ya AFCON itakayoanza mwishoni mwa mwezi huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS