Mchezaji wa zamani Taifa Stars afariki dunia Jezi ya Taifa Stars na nembo ya TFF Aliyewahi kuwa mchezaji wa Tanzania Prisons ya Mbeya na Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Said Mtupa amefariki dunia kwa ajali ya piki piki eneo la Iwambi mkoani Mbeya. Read more about Mchezaji wa zamani Taifa Stars afariki dunia