Mchezaji wa zamani Taifa Stars afariki dunia

Jezi ya Taifa Stars na nembo ya TFF

Aliyewahi kuwa mchezaji wa Tanzania Prisons ya Mbeya na Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Said Mtupa amefariki dunia kwa ajali ya piki piki eneo la Iwambi mkoani Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS