Halima Mdee awaponza Upinzani bungeni

Spika wa Bunge Job Ndugai amezuia kusomwa kwa hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, kwa Wizara ya Fedha iliyokuwa isomwe na Mbunge wa Momba, David Silinde kwa kile Spika alichokidai kuwa ina maneno yasiyokuwa na maadili, inayodaiwa kuandaliwa na Mbunge, Halima Mdee.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS