Ajiua kwa kunyimwa pesa na mkewe

James Kamau mwenye miaka 39 mkazi wa kijiji cha Mbogo-ini kilichoko katika kata ya Kahumbu kaunti ya Murang'a nchini Kenya, amejiua baada ya kunyimwa pesa ya kwenda kunywa pombe na mke wake .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS