Ruby afunguka kuhusu mpenzi wake kupigiwa simu

Ruby na mpenzi wake aitwaye Kusah

Mwimbaji mwenye sauti ya kuvutia kwenye Bongofleva, Ruby, amefunguka kuwa sio kwamba anaringa kama watu wanavyosema bali yeye sio mtu wa marafiki kwasababu ameshawahi kushuhudia uongo mkubwa mbele ya mpenzi wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS