"Tuna vifaa, askari wa kutosha kuilinda 'Airport'"

IGP, Simon Sirro (katikati) alipotembelea Uwanja wa Ndege wa JNIA

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Simon Sirro amesema kuwa maeneo ya viwanja vya ndege ususan kiwanja cha ndege Dar es salaam kamwe hakitakuwa uchochoro wa kupitisha na kusafirisha magendo, biashara ya binadamu, nyara za serikali pamoja na dawa za kulevya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS