Samatta awaahidi Watanzania AFCON, mipango ya EPL
Mshambuliaji wa klabu ya Genk na nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta amewaahidi Watanzania kuwa atajitahidi kwa uwezo wake kuongoza vyema Taifa Stars katika michuano ya mataifa ya Afrika, AFCON mwezi ujao nchini Misri.