Samatta awaahidi Watanzania AFCON, mipango ya EPL

Mbwana Samatta

Mshambuliaji wa klabu ya Genk na nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta amewaahidi Watanzania kuwa atajitahidi kwa uwezo wake kuongoza vyema Taifa Stars katika michuano ya mataifa ya Afrika, AFCON mwezi ujao nchini Misri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS