Mo Dewji agawa usafiri kwa wachezaji wote wa Simba
Mo Dewji na kikosi cha Simba
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Mohammed Dewji, ametoa usafiri kwa wachezaji wote wa Simba msimu huu ikiwa ni sehemu ya ahadi yake kwao kutokana na mafanikio waliyopata msimu huu.