Wanafunzi wa bweni wajipikia na kulala chini

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Evod Mmanda

Wanafunzi wanaokaa katika mabweni ya shule ya sekondari Kisiwa iliyopo Mtwara, wameiomba serikali kuangalia mamna ya kuwasaidia kukabiliana na changamoto zinazowakabili ikiwemo kujipikia na kulala chini kwa kukosa vitanda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS