Coca Cola Kwanza yawaleta karibu wadau na wateja

Wadau mbalimbali wakipata chakula cha jioni (Futari) kilichoandaliwa na Coca Cola Kwanza.

Mkurugenzi Mtendaji wa Coca Cola Kwanza Basil Gadzios, amesema kampuni hiyo itaendelea kukutana na kuwa karibu na wateja wake kupitia hafla mbalimbali wanazoziandaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS