Samatta aandaliwa zawadi na Wizara ya Michezo

Waziri Dkt. Harrison Mwakyembe na Mbwana Samatta

Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Dkt. Harrison Mwakyembe, ametoa pongezi kwa nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Samatta baada ya kuisaidia timu yake ya KRC Genk kuibuka mabingwa wa Ubelgiji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS