PM afichua siri 8 zinazosisitizwa na Serikali

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameutaka uongozi wa Benki ya CRDB uzidi kuzingatia misingi ya utawala bora na kuongeza juhudi katika utoaji wa huduma, ili benki hiyo iendelee kuwa mfano wa mafanikio kwa taasisi zinazomilikiwa na kuendeshwa na wazalendo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS