CAG ageuziwa kibao, Spika adai anazo taarifa zake

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameeleza amepokea taarifa ya kufanyiwa ukaguzi kwa ofisi ya CAG Profesa Assad, ambao umefanya na kampuni binafsi na yeye kuikabidhi kwenye kamati ya PAC na kueleza baada ya uchambuzi ataisoma taarifa hiyo bungeni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS