Spika amtumbua Makamu wa Rais

Spika Ndugai.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amesema kuwa amemuandikia barua Rais wa Bunge la Afrika ili kusitisha uwakilishi wa Stephen Masele katika bunge hilo kutoka Tanzania ambaye pia ni makamo wa Rais.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS