Dogo Janja afichua uhusiano wake na Nandy

Dogo Janja akiwa na Nandy.

Msanii wa Bongo Fleva, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ amefichua siri yake na msanii mwenzake, Faustina Charles ‘Nandy’ kwa kusema kuwa akiwa naye popote pale familia yake huwa na amani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS