Serikali yatoa maamuzi kuhusu ving'amuzi kuonesha

Satelite

Naibu Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Atashasta Nditiye, amesema serikali inashughulikia maombi ya makampuni yanayotaka leseni ya kubeba maudhui ya vituo vya televisheni vya ndani ili yaweze kupata leseni stahiki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS