Ataka Tume ya Uchaguzi iwe kama CAG
Mwanaharakati Bob Chacha Wangwe amependekeza Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi (NEC), kupewa nguvu ya kikatiba kama aliyopewa Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali CAG, ili aweze kutekeleza majukumu yake kikamilifu.