Madiwani watimua wezi wa milioni 118

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mjini, Abdul Hassan Mshaweji

Balaza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mjini mkoani Ruvuma, limewakuta watendaji wake watatu na hatia ya upotevu wa fedha za manispaa kiasi cha shilingi milioni mia moja na kumi na nane.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS