Zari atoboa siri ya kupendeza kwake
Mfanyabiashara maarufu kutoka nchini Uganda ambaye makazi yake kwa sasa ni nchini Afrika Kusini, Zarinah Hassan ‘Zari’ amekiri kuwa kuvaa nguo zinazoitwa feki huku akiweka wazi kwamba anachoangalia yeye ni kupendeza kwake.