Golikipa wa zamani wa Simba afariki mazoezini
Mchezaji wa timu ya Transit Camp ya Daraja la Kwanza Ahmad Waziri, amefariki ghafla asubuhi ya leo baada ya kudondoka akiwa anatoka mazoezini na wenzake kwenye Kambi ya Twalipo, Kurasini Jijini Dar es Salaam.