Golikipa wa zamani wa Simba afariki mazoezini

Ahmad Waziri alipokuwa akiitumikia Simba.

Mchezaji wa timu ya Transit Camp ya Daraja la Kwanza Ahmad Waziri, amefariki ghafla  asubuhi ya leo baada ya kudondoka akiwa anatoka mazoezini na wenzake kwenye Kambi ya Twalipo, Kurasini Jijini Dar es Salaam. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS