Polisi washangazwa na kifo cha mtu Mwanza Kamanda Polisi Mkoa wa Mwanza, Jumanne Muliro Wakazi wa jiji la Mwanza wamekumbwa na sintofahamu baada ya kijana mmoja asiyefahamika kusadikiwa kujirusha kwenye jengo la ghorofa ya tatu katika hoteli ya Gold Crest iliyopo jijini humo. Read more about Polisi washangazwa na kifo cha mtu Mwanza