Aliyesema Cuba hamna Ombaomba ajiuzulu Waziri wa Kazi wa Cuba Marta Elena Feitó Cabrera amelazimika kujiuzulu baada ya kutoa maoni ya kukanusha kuwepo kwa ombaomba katika kisiwa hicho kinachoongozwa na Wakomunisti. Read more about Aliyesema Cuba hamna Ombaomba ajiuzulu