Wakati Simba wakiwa DR Congo, TFF yahukumu

Simba SC wakiwa kwenye mazoezi.

Shirikisho la soka nchini (TFF), kupitia kwa Bodi ya Ligi imeshusha rungu kwa waamuzi waliochezesha mchezo wa ligi kuu namba 124 kati ya JKT Tanzania dhidi ya Simba SC uliopigwa kwenye uwanja wa Mkwakwani Tanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS