Kaseja kuchukua nafasi ya Manula ?

Juu ni Kaseja na benchi la ufundi la KMC na chini ni Manula na benchi la ufundi la Simba.

Mlinda mlango mkongwe nchini Juma Kaseja, amekuwa kwenye kiwango bora siku za hivi karibuni, akiiongoza KMC kukaa katika nafasi ya 3 kwenye ligi kuu soka Tanzania bara, baada ya kutoruhusu kufungwa bao katika mechi 3 mfululizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS